Home Music Navy Kenzo Katika album ya wasanii wa label ya Empire Africa

Navy Kenzo Katika album ya wasanii wa label ya Empire Africa

Navy Kenzo Katika album ya wasanii wa label ya Empire Africa

Navy Kenzo Katika album ya wasanii wa label ya Empire Africa, Kupitia mtandao wa Billboard, Hot97 na gazeti la Variety la nchini marekani, kundi la muziki kutoka Tanzania Navy Kenzo linalo undwa na wasanii Aika na Nahreel, wametajwa kuwa ni moja wapo ya wasanii watakao unda track list ya album iliyoandaliwa na kampuni ya usambazaji wa muziki ya EMPIRE iliyopo San Francisco Marekani, Navy Kenzo Katika album ya wasanii wa label ya Empire AfricaAlbum ambayo itakuwa na mjumuisho wa mastar wa muziki kutoka Africa wakiwemo

Olamide, Fireboy DML, Kizz Daniel, Buju BNXN, Asake, Black Sherif na wengineo wengi.Navy Kenzo Katika album ya wasanii wa label ya Empire AfricaAlbum hiyo imepewa jina la “Where we come from (Tulipo toka)” wamefanya hivyo baada ya muziki kutoka barani Africa

kusikilizwa na kupendwa kwa kiwango kikubwa duniani na kwa mujibu wa tovuti hizo Album hiyo inatarajiwa kutoka mwezi

November tarehe 18

Previous articleDOWNLOAD: Benson Ft Lody Music – Asante
Next articleDOWNLOAD: Tuerny – Siri