Audio | Diamond Platnumz – Chitaki [Download Mp3]
Read Chitaki Lyrics By Diamond Platnumz
We ndo kitumbua we ndo sambusa
Basi njoo unichumu baby ndo tuseme umesusa
We ndo mwisho wa reli
Kwako nimeweka nukta
Walokwambia nala zuchu sio kweli wanazusha
Wanao kaa vikao sisi kutujudge
Wape pole yao wanatwanga maji
Nawaongeze bidii kwenye mlogaji
Tupo ten gb penzi full charge
Fanya wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta
Mi kuachana na wewe aku!
Chitaki x5 mi
Kuachana na wewe
Mchana nikupe tango usiku ndizi swadakta
Tuanze fanya mambo kabla umeme hawajakata
Mapenzi mwenzie kiwango na umejariwa taranta
Na unanijua kwa jambo hatoki mtu kwa mkapa
Eeh! Aaah
Amuli chi chi chi
Amuli chacha chacha
Kamoyo ti ti ti nimeozaje sasa
Amuli chi chi chi
Amuli chacha chacha
Kamoyo ti ti ti nakuachaje sasa
Wanao kaa vikao sisi kutujudge
Wape pole yao wanatwanga maji
Nawaongeze bidii kwenye mlogaji
Tupo ten gb penzi full charge
Basi fanya
Fanya wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa wainukaa
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta
Mi kuachana na wewe aku!
Chitaki x5 mi
Kuachana na wewe
Chitaki x5 mi
Related Post;
- AUDIO | Rayvanny ft Diamond Platnumz – Nitongoze | Mp3 Download
- (AUDIO & LYRICS) Mapopo – Mavokali ft Rayvanny | Download Mp3
- Download Centano Mapenzi au Pesa Mp3
- (AUDIO) Ben Pol – Nyumbani | Mp3 Download(AUDIO) Imuh – Tunaanza Mp3/Lyrics | Download
- (AUDIO) Imuh – Tunaanza Mp3/Lyrics | Download